Peponi by Abdulrazak Gurnah
By Abdulrazak GurnahPeponi by Abdulrazak Gurnah
Mzaliwa wa Afrika ya Mashariki, Yusuf anaondoka kwao kwa ghafla akiwa na umri wa miaka kumi na mbili. Haimjii hata kwa sekunde moja, kwamba atakuwa mbali na wazazi wake kwa muda mrefu, na wala hafikirii kuuliza atarudi lini au kwa nini safari iliandaliwa kwa ghafla kiasi kile. Yusuf anaamini kuwa anamsindikiza Ami Aziz lakini ukweli ni kwamba 'ami' yake ni Mfanyabiashara, tena tajiri mkubwa, na Yusuf amewekwa rehani ili kulipia madeni ya baba yake.
Yusuf anajikuta anasafiri katika miji na vitongoji vingi vingine ambako anakutana na watu wa kila namna. Anabalehe na kukua kwenye dunia inayobadilika kwa kasi kutokana na kuingia kwa ukoloni na udhalimu wake na jamii kuharibika kwa kuvurugwa kwa utamaduni wake.
Hii ni tafsiri ya kwanza kwa riwaya za Abdulrazak Gurnah katika lugha ya Kiafrika.
Abdulrazak Gurnah ni mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi ya mwaka 2021. Ameandika riwaya kumi ikiwemo hii ya paradise. Gurnah ni Profesa wa Masomo ya Kiingereza na Fasihi za Kikoloni katika Chuo Kikuu cha Kent.
Dkt. Ida Hadjivayanis ni Mhadhiri Mwandamizi wa Masomo ya Kiswahili SOAS, Chuo kikuu cha London. Ametafsiri riwaya kadhaa kwa Kiswahili na Kiingereza.
Book details
- Paperback
- 262 pages
- English
- 9987449867
- 9789987449866
About Abdulrazak Gurnah
abdulrazak gurnah was born in 1948 in zanzibar and lives in england, where he teaches at the university of kent. he is the author of seven novels, which in Read More about Abdulrazak Gurnah
More Books By Abdulrazak Gurnah
People who bought this also bought
Elders and Leaders: God's Plan for Leading the Church book by Gene A. Getz
Stepping Up - Bible Study Book : A Journey Through the Psalms of Ascent
Unreasonable Hospitality: The Remarkable Power of Giving People More Than They Expect book by Will Guidara
Cameron on Cameron: Conversations with Dylan Jones book by David Cameron
The Secret Letters of the Monk who Sold His Ferrari book by Robin Sharma
Emotionally Healthy Spirituality: Unleash A Revolution In Your Life in Christ book by Peter Scazzero
The Pivot Year: 365 Days To Become The Person You Truly Want To Be book by Brianna Wiest
I Am My Brand: How to Build Your Brand Without Apology book by Kubi Springer
Rebel Ideas: The Power of Diverse Thinking book by Matthew Syed
The Three-Box Solution: A Strategy for Leading Innovation book by Vijay Govindarajan
An Autobiography: The Story of My Experiments with Truth book by Mahatma Gandhi
Your Next Five Moves: Master the Art of Business Strategy book by Patrick Bet-David
The Cash Nexus: Money and Power in the Modern World, 1700-2000 book by Niall Ferguson
Why Civil Resistance Works: The Strategic Logic of Nonviolent Conflict book by Erica Chenoweth
Choicemaking: for Co-Dependents, Adult Children and Spirituality Seekers
Get Your Sh*t Together: The New York Times Bestseller book by Sarah Knight
Belching Out the Devil: Global Adventures with Coca-Cola book by Mark Thomas
A Leap Into The Future: A Vision for Kenya's Socio-Political and Economic Transformation book by Anyang' Nyong'O