
Peponi by Abdulrazak Gurnah
By Abdulrazak GurnahPeponi by Abdulrazak Gurnah
Mzaliwa wa Afrika ya Mashariki, Yusuf anaondoka kwao kwa ghafla akiwa na umri wa miaka kumi na mbili. Haimjii hata kwa sekunde moja, kwamba atakuwa mbali na wazazi wake kwa muda mrefu, na wala hafikirii kuuliza atarudi lini au kwa nini safari iliandaliwa kwa ghafla kiasi kile. Yusuf anaamini kuwa anamsindikiza Ami Aziz lakini ukweli ni kwamba 'ami' yake ni Mfanyabiashara, tena tajiri mkubwa, na Yusuf amewekwa rehani ili kulipia madeni ya baba yake.
Yusuf anajikuta anasafiri katika miji na vitongoji vingi vingine ambako anakutana na watu wa kila namna. Anabalehe na kukua kwenye dunia inayobadilika kwa kasi kutokana na kuingia kwa ukoloni na udhalimu wake na jamii kuharibika kwa kuvurugwa kwa utamaduni wake.
Hii ni tafsiri ya kwanza kwa riwaya za Abdulrazak Gurnah katika lugha ya Kiafrika.
Abdulrazak Gurnah ni mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi ya mwaka 2021. Ameandika riwaya kumi ikiwemo hii ya paradise. Gurnah ni Profesa wa Masomo ya Kiingereza na Fasihi za Kikoloni katika Chuo Kikuu cha Kent.
Dkt. Ida Hadjivayanis ni Mhadhiri Mwandamizi wa Masomo ya Kiswahili SOAS, Chuo kikuu cha London. Ametafsiri riwaya kadhaa kwa Kiswahili na Kiingereza.
Book details
- Paperback
- 262 pages
- English
- 9987449867
- 9789987449866
About Abdulrazak Gurnah
abdulrazak gurnah was born in 1948 in zanzibar and lives in england, where he teaches at the university of kent. he is the author of seven novels, which in Read More about Abdulrazak Gurnah
People who bought this also bought
Kitaaba Waaqa: Ka afaani Boranatini t'aafani (Borana Bible)
New Book
A Prison Diary Volume I : Hell book by Jeffrey Archer
New Book
Grateful Table: Blessings, Prayers and Graces book by Brenda Knight
Like New
The Relationship Principles of Jesus Book by Tom Holladay
New Book
How Successful People Grow: 15 Ways to Get Ahead in Life book by John C. Maxwell
New Book
Cold Steel: Lakshmi Mittal and the Multi-Billion-Dollar Battle for a Global Empire book by Tim Bouquet
New Book
When Baghdad Ruled the Muslim World: The Rise and Fall of Islam's Greatest Dynasty book by Hugh Kennedy
New Book
Winning Ways: Four Secrets for Getting Great Results by Working Well with People
Used Book
Crisis : Heterosexual Behavior in the Age of AIDS
Used Book
From Pride to Humility: A Biblical Perspective book by Stuart Scott
Used Book
The Long Tail: Why the Future of Business is Selling Less of More Book by Chris Anderson
New Book
The Years of Lyndon Johnson #1 :The Path to Power book by Robert A. Caro
New Book
The Way of Truth in a World of Fiction (The Way of Truth in a World of Fiction : Beyond The Da Vinci Code)
Used Book
Emergency Sex (and Other Desperate Measures): True Stories from a War Zone book by Kenneth Cain
New Book
The Face Book: The Pros and Cons of Facial Plastic Surgery
Used Book
Breakthrough: Learn the Secrets of the World's Leading Mentor and Become the Best You Can Be book by David C.M. Carter
New Book
Becoming Supernatural: How Common People are Doing the Uncommon book by Joe Dispenza
New Book
Leadership Gold: Lessons I've Learned from a Lifetime of Leading book by John C. Maxwell
New Book
The Sovereignty of Law: Freedom, Constitution and Common Law book by T.R.S. Allan
New Book
Brain Energy: A Revolutionary Breakthrough in Understanding Mental Health?and Improving Treatment for Anxiety, Depression, OCD, PTSD, and More book by Christopher M. Palmer
New Book
A Passionate Sisterhood: The Sisters, Wives and Daughters of the Lake Poets
Used Book
Measure What Matters: How Google, Bono, and the Gates Foundation Rock the World with OKRs book by John Doerr
New Book
Red Notice: A True Story of High Finance, Murder, and One Man's Fight for Justice book by Bill Browder
New Book
Thomas Sankara Speaks: The Burkina Faso Revolution 1983-1987
New Book
Room to Dream book by David Lynch , Kristine McKenna
New Book
Thabo Mbeki & The Battle for the Soul of the ANC book by William Mervin Gumede
New Book