
Peponi by Abdulrazak Gurnah
By Abdulrazak GurnahMzaliwa wa Afrika ya Mashariki, Yusuf anaondoka kwao kwa ghafla akiwa na umri wa miaka kumi na mbili. Haimjii hata kwa sekunde moja, kwamba atakuwa mbali na wazazi wake kwa muda mrefu, na wala hafikirii kuuliza atarudi lini au kwa nini safari iliandaliwa kwa ghafla kiasi kile. Yusuf anaamini kuwa anamsindikiza Ami Aziz lakini ukweli ni kwamba 'ami' yake ni Mfanyabiashara, tena tajiri mkubwa, na Yusuf amewekwa rehani ili kulipia madeni ya baba yake.
Yusuf anajikuta anasafiri katika miji na vitongoji vingi vingine ambako anakutana na watu wa kila namna. Anabalehe na kukua kwenye dunia inayobadilika kwa kasi kutokana na kuingia kwa ukoloni na udhalimu wake na jamii kuharibika kwa kuvurugwa kwa utamaduni wake.
Hii ni tafsiri ya kwanza kwa riwaya za Abdulrazak Gurnah katika lugha ya Kiafrika.
Abdulrazak Gurnah ni mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi ya mwaka 2021. Ameandika riwaya kumi ikiwemo hii ya paradise. Gurnah ni Profesa wa Masomo ya Kiingereza na Fasihi za Kikoloni katika Chuo Kikuu cha Kent.
Dkt. Ida Hadjivayanis ni Mhadhiri Mwandamizi wa Masomo ya Kiswahili SOAS, Chuo kikuu cha London. Ametafsiri riwaya kadhaa kwa Kiswahili na Kiingereza.
Peponi by Abdulrazak Gurnah||Peponi by Abdulrazak Gurnah|| Peponi by Abdulrazak Gurnah price in nairobi kenya|| Peponi by Abdulrazak Gurnah|| Peponi by Abdulrazak Gurnah pdf ||Peponi by Abdulrazak Gurnah summary|| Peponi by Abdulrazak Gurnah edition ||Peponi by Abdulrazak Gurnah review|| Peponi by Abdulrazak Gurnah||Peponi by Abdulrazak Gurnah||Peponi by Abdulrazak Gurnah original book||Peponi by Abdulrazak Gurnah discounted price||Peponi by Abdulrazak Gurnahbook summary||Peponi by Abdulrazak Gurnah book review||Peponi by Abdulrazak Gurnah pdf||Peponi by Abdulrazak Gurnahfree pdf download||Peponi by Abdulrazak Gurnah paperback||Peponi by Abdulrazak Gurnahhardcover||Peponi by Abdulrazak Gurnahaudiobook
Book details
- Paperback
- 262 pages
- English
- 9987449867
- 9789987449866
About Abdulrazak Gurnah
abdulrazak gurnah was born in 1948 in zanzibar and lives in england, where he teaches at the university of kent. he is the author of seven novels, which in Read More about Abdulrazak Gurnah
More Books By Abdulrazak Gurnah
People who bought this also bought
The Let Them Theory: A Life-Changing Tool That Millions of People Can't Stop Talking About book by Mel Robbins
New Book
Everyday Greatness: Inspiration for a Meaningful Life book by Stephen R. Covey
New Book
Sex at Dawn: How We Mate, Why We Stray and What It Means for Modern Relationships book by Christopher Ryan
New Book
Upsetting the status quo: How to become a carrier of revival to your generation
Used Book
The Vision of His Glory - Finding Hope Through the Revelation of Jesus Christ work book book by Anne Graham Lotz
Used Book
Factfulness : Ten Reasons We're Wrong about the World--And Why Things Are Better Than You Think
New Book
Living Simultaneously: Balancing Self-Care, Personal Relationships and Work
Used Book
Making Nonprofits Work: A Report on the Tides of Nonprofit Management Reform
Used Book
Are You Kidding Me? : My Life with an Extremely Loud Family, Bathroom Calamities, and Crazy Relatives
Used Book
The Facebook Effect: The Inside Story of the Company That Is Connecting the World book by kirkpatrick-david
New Book
Sharing the Light of Faith: National Catechetical Directory for Catholics of the United States
Used Book
The Innovator's DNA: Mastering the Five Skills of Disruptive Innovators book by Jeffrey H. Dyer , Hal B. Gregersen , Clayton M. Christensen
New Book
Fish: A Proven Way to Boost Morale and Improve Results book book by Stephen C. Lundin
New Book