Peponi by Abdulrazak Gurnah

Peponi by Abdulrazak Gurnah

By

Mzaliwa wa Afrika ya Mashariki, Yusuf anaondoka kwao kwa ghafla akiwa na umri wa miaka kumi na mbili. Haimjii hata kwa sekunde moja, kwamba atakuwa mbali na wazazi wake kwa muda mrefu, na wala hafikirii kuuliza atarudi lini au kwa nini safari iliandaliwa kwa ghafla kiasi kile. Yusuf anaamini kuwa anamsindikiza Ami Aziz lakini ukweli ni kwamba 'ami' yake ni Mfanyabiashara, tena tajiri mkubwa, na Yusuf amewekwa rehani ili kulipia madeni ya baba yake.

Yusuf anajikuta anasafiri katika miji na vitongoji vingi vingine ambako anakutana na watu wa kila namna. Anabalehe na kukua kwenye dunia inayobadilika kwa kasi kutokana na kuingia kwa ukoloni na udhalimu wake na jamii kuharibika kwa kuvurugwa kwa utamaduni wake.

 


Hii ni tafsiri ya kwanza kwa riwaya za Abdulrazak Gurnah katika lugha ya Kiafrika.

 


Abdulrazak Gurnah ni mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi ya mwaka 2021. Ameandika riwaya kumi ikiwemo hii ya paradise. Gurnah ni Profesa wa Masomo ya Kiingereza na Fasihi za Kikoloni katika Chuo Kikuu cha Kent.

Dkt. Ida Hadjivayanis ni Mhadhiri Mwandamizi wa Masomo ya Kiswahili SOAS, Chuo kikuu cha London. Ametafsiri riwaya kadhaa kwa Kiswahili na Kiingereza.

 

Peponi by Abdulrazak Gurnah

Peponi by Abdulrazak Gurnah Peponi by Abdulrazak Gurnah price in nairobi kenya Peponi by Abdulrazak Gurnah Peponi by Abdulrazak Gurnah pdf Peponi by Abdulrazak Gurnah summary Peponi by Abdulrazak Gurnah edition Peponi by Abdulrazak Gurnah review Peponi by Abdulrazak GurnahPeponi by Abdulrazak Gurnah

 


 


Book details

  • Paperback
  • 262 pages
  • English
  • 9987449867
  • 9789987449866

About Abdulrazak Gurnah

abdulrazak gurnah was born in 1948 in zanzibar and lives in england, where he teaches at the university of kent. he is the author of seven novels, which in Read More about Abdulrazak Gurnah
ksh 2390
Product available
Add to basket
Buy as gift
Hurry Up!Only 4 items left
Fulfilled By Supplier

Get it by Today 11 AM - 6 PM (For orders within Nairobi only )
Free delivery above KES 20000

Condition : New Book This is a new book - be the first to read this copy. With untouched pages and a perfect binding, your brand new copy is ready to be opened for the first time

Email Twitter Instagram Facebook Whatsapp

People who bought this also bought